Home Search Countries Albums

Corona

JIMMY GAIT

Corona Lyrics


Ilikuwa ni Monday morning
My phone ika ring ring ring
Nilipokea simu yangu
Ilikuwa ni Akinyi

Amekuwa ni rafiki wa karibu
Just the other day kaolewa majuu
Hey hello, 'Jimmy' 
'Are you okey? Are you okey?' 

Your husband?
Ni nini imefanyika?

"Bwana yangu amekufa, 
Alikuwa anakohoa sana, joto jingi
Na kushindwa kupumua
Daktari alisema ni Corona"

Oooh Corona, watisha ulimwengu
Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa
Itakuwa sawa(Sawa sawa)
Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)

Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sa, sawa sa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sa, sawa sa, sawa sawa

Hata kama kuna wingu limetanda
La Corona linatisha sisi wote
Kwa pamoja tunaweza kujikinga
Kwa kufuata maagizo kama haya

Kwa mara nyingi osha mikono yako kwa sabuni
Na usiguze macho, mdomo na hata na mapua
Ni bora ufunikie mdomo kama wakohoa
Maumivu yakizidi ona daktari
Na walioadhirika ni watu kama sisi 
Tusiwaachilie

Oooh Corona, watisha ulimwengu
Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa
Itakuwa sawa(Sawa sawa)
Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)

Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright

Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Corona (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JIMMY GAIT

Kenya

 Jimmy Gait, born James Ngaita Ngigi, is an award winning Gospel/Christian musician from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE