Home Search Countries Albums

Pumzi Lyrics


Chozi lanishuka najiponza kwa mvinyo
Mahaba nishasusa huko mimi simo
Maana hai ulishanizika
Kanichimbia na shimo
Nikate pumzi nitoke duniani
Mautam na utam, mautam ya hamu
Ila mwisho ni uadui na sijui

Hebu niambie mmmh
Tulivyopanga ikasanda nitulie
Ukatanga na kudanga, niambie mama
Penginee (penginee)
Ntulie bwana na uadui

Hukushiba na makopa wewe
Japo vingi vyanichocha mi nilewe
Ukionywa unafoka ila wewe
Yako kali sumu nyoka

Maanake mimi nilikupenda wewe zaidi
Sikuwahi hata kucheat niliyoyatenda Mungu shahidi
Tunda nimelipopoa mwenyewe shamba la bibi
Wajanja wakanizidi kukuacha sikutaka ila imenibidi

Fahamu kuwa siwezi kula wali mkavu mgaagaa na upwa
Mwili umenikongoroka imebaki mifupa
Taja ulichokitamani nkakataa kukupa
Uko kwa wahuni utatumika sana ukichakaa unatupwa

Nikaona tu nikubwagie manyanga
Kipi cha kung'ang'ania pisi yenyewe majanga
Nikienda kazini ghetto unaniletea waganga
Ili nisiwe na neno akiniaga kuelekea kudanha

Vingi nilikupa funguo za mkoko
Vinguo vya mtoko kila wiki vizawadi
Mahaba motomoto 
Ukipika napenda hata ukitoa bokoboko
Ila kwa kuwa dawa ya moto ni moto 
Utazimwa na moto wa msoto

Hebu niambie mmmh
Tulivyopanga ikasanda nitulie
Ukatanga na kudanga, niambie mama
Penginee (penginee)
Ntulie bwana na uadui

Hukushiba na makopa wewe
Japo vingi vyanichocha mi nilewe
Ukionywa unafoka ila wewe
Yako kali sumu nyoka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Pumzi (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JIMMY CHANSA

Tanzania

Jimmy Chansa is a Musician/Doctor from Tanzania  ...

YOU MAY ALSO LIKE