Home Search Countries Albums

Hawatoi

JAY MELODY

Read en Translation

Hawatoi Lyrics


Zheh

Naitwa nani vile

Jay once again

Onhoooo

Umaskini unafanya nazidi pambana

Tena najua kule nilipotoka na ninachofanya

Halafu mungu nae ananibariki usiku mchana

Wanaoniombea mabaya hawajakosekana

Iyo mishale yao ah

Mi naikwepa

Kwanza shauri zao

Wanavyoteseka

Na kimpango wao

Mi ndo nasepa

Nikikutana nao

Ndo kwanza nacheka

Hawatoi hawatoi

Hata sifa hawatoi

Hawatoi hawatoi

Hata heshima hawatoi

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Uzito ndo tatizo eti

Wanataka niwe mwepesi

Wanasema sieleweki

Si washajua siendeshwi

Wanafanya mpaka upelelezi

Anaishi wapi mbezi

Binadamu mna mengi

Kwendeni kudadeki

Anhaaaa

Hawachoki kila siku

Anhaaaaa

Wananitafuta kitu

Anhaaaa

Hawachoki kila siku

Anhaaaaa

Wananitafuta kitu ahooo

Hawatoi hawatoi

Hata sifa hawatoi

Hawatoi hawatoi

Hata heshima hawatoi

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MELODY

Tanzania

  Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...

YOU MAY ALSO LIKE