Home Search Countries Albums

Wivu

JADI

Wivu Lyrics


Kila soko inachizi wake
Kila ndoa ina drama zake
Na hapa kwetu kuna mapepo, rafiki zako ndio mapepo
Wanataka unishuku, usidhubutu!
Kuwapa hao nguvu, utajikosea Sana
Wananisema vibaya, Kwa ajili Yao tunagombana
Usiwape nguvu utajikosea Sana

Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao

Hao sio marafiki, hawajui unachohisi
Hawaoni unacho ona jamani
Usizamishe meli, usitoroke penzi
Usiniache Mimi mataani
Moyo wangu ni mwepesi (Tahadhari mama)
Chunga isiwe kesi (Umenizika mzima)
Moyo wangu ni mwepesi (Tahadhari mama)
Chunga isiwe kesi (Umenizika mzima)

Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao
Wanaona wanaona wanaona wivu, Achana nao

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wivu (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

JADI

Kenya

Jadi is the African Story The 3 Member boy band comprising of Vince, Brandon & Ethan display imp ...

YOU MAY ALSO LIKE