Home Search Countries Albums

Mimi na Wewe

JADI

Mimi na Wewe Lyrics


[Intro: Vince]
Ooh, ooh
Yeah, eeh

[Verse 1: Vince]
Sema, mtoto mrembo na lace kiunoni 
Wema, huo wako uliojaza moyoni
Tena, how you love me
Siwezi eleza mama, aah
Siwezi eleza mama, aah
Umeniteka ndio maana sitaki kwenda
Ndicho kitu sitaki kutenda
Hela, tupate tukose mi nitakupenda
Umeniweza ndio maana nasemaaaa

[Prechorus: Brandon]
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah aah
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah

[Chorus: Jadi]
Mimi na wewe, na wewe eh
Mimi na wewe, na wewe eh yeah

[Verse 2: Ethan]
Najua baby, tukitoa mali kwenye hesabu (ooh) 
Tutajipata, upendo wetu bado unang'aa
Unasimama
Mtoto mzuri tazama, tazama
Tazama wanifanya ninawaza
Na tena tabasamu inang'aa
Fahamu jinsi mimi wanifaa
Mtoto mzuri tazama, tazama
Tazama wanifanya ninawaza
Na tena tabasamu inang'aa
Fahamu jinsi mimi wanifaa

[Prechorus: Brandon]
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah aah
Ukienda, nitaenda aah aah
Ukisonga, nitasonga aah

[Chorus: Jadi]
Mimi na wewe, na wewe eh
Mimi na wewe, na wewe eh yeah

[Verse 3: Brandon]
Baby, nahitaji niwe kando yako (kando yako)
Maana wanipaa furaha ya moyo (ooh)
Tabia na urembo pia wa kupindukia
Yanikamilisha baby

[Chorus: Jadi]
Mimi na wewe, na wewe eh
Mimi na wewe, na wewe eh yeah

[Outro: Vince]
Eeh, yeah
Mimi na wewe
Mimi na we, Mimi na we
Mimi na Wewe, baby
Yeah, yeah, yeah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mimi na Wewe


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JADI

Kenya

Jadi is the African Story The 3 Member boy band comprising of Vince, Brandon & Ethan display imp ...

YOU MAY ALSO LIKE