Furaha Remix Lyrics

Furaha ni kuwa na marafiki
Furaha ni kulewa na marafiki
Furaha ni kuwa na marafiki (onana)
Furaha ni kulewa na marafiki
Ninapo timba maguu wanajua kondeboy kaingia
Ma brother na ma sister duu kunyweni bili zote me nitalipia
Holla stress for what stress for who
Tugonge glass na mikono juu
Stress for what, stress for who
Si tunachoma nyasi una mimoshi juu
Ka madeni yapo na hayawezi kwisha
Hizo za kunana nuna unayafupisha maisha
Waiter leta me sichagui sibagui (hayaya)
Atae nizika simjui
Sisi ni marafiki sio maadui
Ila bili anae lipa simjui oh oh
Furaha ni kuwa na marafiki
Furaha ni kulewa na marafiki
Furaha ni kuwa na marafiki
Furaha ni kulewa na marafiki
Peeeem mpelele (iyanii)
Pem pempelelele (iyanii)
Peeeem mpelele (iyanii)
Pem pempelelele (iyanii)
Comlet power (power)
Comlet power (power)
Kwa sherehe tumefika (sherehe tumefika)
Kwa sherehe tumefika (sherehe tumefika)
Familia iko ndani (ndani)
Wote tunajibamba
Marifiki majirani (rani)
Wote tunajibamba
I am happy today, so happy
I am happy today, so happy
Sisi ni walevi (Sisi ni walevi )
Tunapenda kamnyweso (Tunapenda kamnyweso )
Sisi ni walevi (Sisi ni walevi )
Tunapenda kamnyweso (Tunapenda kamnyweso )
Furaha ni kuwa na marafiki
Furaha ni kulewa na marafiki
Furaha ni kuwa na marafiki
Furaha ni kulewa na marafiki
Ayiiiii
Mnanibamba mbayaaaaa
Awooote
Tiki taka tiki taka
Nheee
Tiki taka tiki taka
Furaha ni kuwa na marafiki
Furaha ni kulewa na marafiki
Furaha ni kuwa na marafiki
Furaha ni kulewa na marafiki
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Furaha Remix (Single)
Copyright : ©2021 Administered by Ngomma VAS Limited.
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
IYANII
Kenya
Iyanii real name Ian Oure is a Singer, Songwriter, Recording and Performing musician from Nairobi , ...
YOU MAY ALSO LIKE