Shuka Lyrics

Aaah oooh oh oh
Baba Shuka, Baba Shuka
Baba Shuka nikuone
Baba Shuka, Baba Shuka
Baba Shuka nikuone
Mimi masikini, masikini wa moyo
Natamani, uje karibu
Nimetembea, nimezunguka, duniani sijaona
Wa kufariji Moyo wangu
Tamanio langu, na ombi langu
Oh baba, Natamani nikuone
Baba Shuka, Baba Shuka
Baba Shuka nikuone
Baba Shuka, Baba Shuka
Baba Shuka nikuone
Oh Bwana shuka,
Ni tamanio la moyo wangu Bwana nikuone
Nione ukitenda Mungu
Maana wewe ndiye Mungu mwenye nguvu
Mwenye mamlaka na uweza
Bwana nina imani kuwa unayajua
Na unaenda kubadilisha maisha yetu Mungu
Bwana tunaomba uwepo wako uwe nasi
Tunaomba mkono wako uwe juu yetu Mungu
Tunaomba uponyaji wako Yesu Kristo
Tunaomba urejesho wako mungu
Tunaomba ushuke Yesu
Tunaomba ushushe neema yako
Tunaomba ushushe uponyaji wako
Tunaomba Baba ushushe urejesho wako
Bwana zaidi ya yote tunaomba
Uonekane maishani mwetu Mungu
Baba ukawe Mungu, ukazidi kuwa Mungu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Shuka
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE