Accueil Recherche Pays Albums

Niteke

HARMONIZE

Niteke Lyrics


I want to keep you
I no got let you
Nishafunga na zipu
Kwingine nishasema no

Acha nikusifu 
Uzuri wa nyumba choo
Naulivyo nadhifu
Sipati vidonda vya koo

If you leave me I go die
I go die my beiby
Na ukinipenda nitajidai
Nitajidai my beiby

Oooh...nakoma na zako 
Kachiri kachiri, ukibinuka binuka
Eeeh....kivumbi na jasho
Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka

Asa beiby, niite(uniteke, unitekenye)
Nicheke kama mtoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)
Apo ndo penye(uniteke, unitekenye)
Ninenepe kama mpoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)

Mmmh 
Macho yake lungu lungu akinitazama
Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama
Macho yake lungu lungu akinitazama
Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama

Eeh fanya wazi unachotaka zidisha kunipenda
Ila kuna paparazzi na Basata
Tusichapane madenda
 
Oooh...nakoma na zako 
Kachiri kachiri, ukibinuka binuka
Eeeh....kivumbi na jasho
Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka

Asa beiby, niite(uniteke, unitekenye)
Nicheke kama mtoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)
Apo ndo penye(uniteke, unitekenye)
Ninenepe kama mpoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)

Asa beiby, mimi nataka nikukande
(pindaa, pinda mgongo pinda)
Yaani pinda nikukande
(pindaa, pinda mgongo pinda)

Unishikilie, nami nikugande
(pindaa, pinda mgongo pinda)
Aah pinda pinda mgongo,
Ebu nipe nikukande,yaani nikukandeee...(chii chii)


 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Niteke/Afrobongo (EP)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzanie

Harmonize, né Rajab Abdul Kahali le 3 octobre 1991 à Mtwara en Tanzania, est un artist ...

YOU MAY ALSO LIKE