Home Search Countries Albums

My Boo Remix

HARMONIZE Feat. Q CHILLA

Read en Translation

My Boo Remix Lyrics


Aah tunaanza upya sasa
Hahaha, just beginning
Chilli, Konde Boy
Yaani Chilla na Konde Boy

Aaah, 
Mola anakupa astahili
Hakupi unachotaka 
Ndio maana nimetulia
Nakukabidhi mtima

Naridhi kifungu mbili
Kukosa nakupata
We unanivumilia
Ata nikiwa sina

Mi najua wapo
Walosema hunifai
Eti hatuendani 
Wanajichosha na kujipa taabu

Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai 
Tena hadharani wakapotosha 
Umedu na mwarabu

Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki

Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

My boo, my boo, my boo 
Oooh lala lalala  my boo 
My boo, my boo, my boo
Oooh lala lala my boo  

Hawapendi kuniona na wewe 
Eti nimekaa nimechill na wewe
Wanatamani niwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh)

(Hahaha, Love is sweet oh)

Ah! Nyie mafundi wa kuchamba
Mnafanya kazi ya kanisa
Ridhiki haivutwi kwa kamba
Na wa kumi hapatagi tisa

Mwenzenu fundi wa kulamba
Tena anameza kabisa
Sio kama najigamba
Ila mbali ninamfikisha eeh

Ndio maana
Ananiganda ganda kama pochi
Ananiganda(Ndio maana)
Nampanda panda kama kochi 
Nampanda

Mi najua wapo
Walosema we hunifai
Eti hatuendani
Wanajichosha na kujipa taabu

Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai 
Tena hadharani wakapotosha 
Umedu na mwarabu

Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki

Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

My boo, my boo, my boo
Oooh lala lalala my boo 
My boo, my boo, my boo
Oooh lala lala my boo 

Hawapendi kuniona na wewe 
Eti nimekaa nimechill na wewe
Wanatamani niwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh)

Zuzuzu, zunguka waone
Zuzuzu, zunguka waone
Yii, asa zungusha body
Zuzuzu, zunguka waone

Kwani unadaiwa kodi? 
Zuzuzu, zunguka waone
Oooh lele, Konde Boy

Ananiganda ganda kama pochi
Ananiganda(Ndio maana)
Nampanda panda kama kochi 
Nampanda

Ooh my God its Spencer

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : The Return of Chilla (EP)


Copyright : (c) 2018 WCB WASAFI


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzania

Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...

YOU MAY ALSO LIKE