Home Search Countries Albums

Inanimaliza

HARMONIZE Feat. MR BLUE

Inanimaliza Lyrics


(Its Bonga)

First time when I saw you
Nilitamani nikueleze how I feel
That was ..alafu macho nikukonyeze
Maybe you can feel

I swear moyo ungekuwa kitabu
Ningefunua uone yaliyomo ndani
Yaani mwenzako napata taabu
Sina furaha hata tone, nionege imani
Oooh my love ooh ooh

Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, NO, NO
Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, No, No, No yeah

Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza
Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza

(Babylon Bizy)
Sibongi nimekuwa kimbau mbau
Ghafla chui nimekuwa kinyau nyau
Mpaka sijui nayosema nimesahau
Vita ya penzi imekuwa kama Mau Mau

Nikiona sura nakonda
Nikiona chura nashindwa kubonga
Nakua mburura masikini omba omba
Kutwa nazurura kutuliza kidonda

Maumivu kama yangu anayo Konde Boy
Namtuliza mwanangu ah usikonde boy
Macho yanaona yes akili inasema 
No No No atakukazia

Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, NO, NO
Macho yanaona kama umejibu YES
Moyo unaona kama umesema NO, No, No, No yeah

Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza
Kusema kweli mi inaniumiza,
Inaniumiza inanimaliza, na sijamaliza

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : AFRO EAST / Inanimaliza (Album)


Copyright : (c) 2020 Konde Worldwide.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzania

Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...

YOU MAY ALSO LIKE