Secret Lyrics

Secret ni kupiga magoti
Magoti, magoti
Hio ndo secret
Secret secret
Jawabu la kila swali
Kwa maisha ni kama kupiga magoti
Tuwache kutegemea mitandao
Ndio inatupa ripoti
Ukitaka kuishi fiti lazima kupiga magoti
----
----
Iko moja secret ayaya
Na ni kupiga magoti ayaya
Mwambie Mola shida zako ayaya
Hey funga milango itafunguka
Itisha utakacho na utapata
Iko moja secret ayaya
Na ni kupiga magoti ayaya
Mwambie Mola shida zako ayaya
Hey funga milango itafunguka
Itisha utakacho na utapata
---
---
Yupo Mungu yeah yupo
Anasikia maombi yeah yupo
Yupo Mungu yeah yupo
Anajibu maombi yeah yupo
Yupo Mungu yeah yupo
Anasikia maombi yeah yupo
Yupo Mungu yeah yupo
Na anajibu maombi yeah yupo
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Secret (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GUARDIAN ANGEL
Kenya
Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...
YOU MAY ALSO LIKE