Roho Wako Lyrics
Mi nakiri kwa kinywa changu
Kwanza bila roho wako mi ni bure, bure sana
Mi nakiri kwa kinywa changu
Kwanza bila roho wako mi ni bure, bure sana
Roho wako ananipa nguvu ya kufanya huduma
Wakati mimi naishiwa nguvu ye ananisukuma
Wanaodhani ni mimi mwenyewe
Basi leo nataka mjue roho wa bwana
Ndiye anayefanya kazi ndani yangu
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Roho wa Mungu kwa uwepo wako ndio tunanawiri
Roho wa Mungu kwa nguvu zako twasimama imara
Roho wa Bwana ukiwa nasi tuko tofauti sana
Roho wa Bwana
Nataka ukae ndani yangu
Uishi ndani yangu, udumu ndani yangu
Roho wa bwana, ukae ndani yangu
Uishi ndani yangu, udumu ndani yangu
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
Wacha roho wako akae ndani yangu
Aniongoze (Aniongoze), Aniongoze (Aniongoze)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Roho Wako (Single)
Copyright : (c) 2021 7Heaven Music.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GUARDIAN ANGEL
Kenya
Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...
YOU MAY ALSO LIKE