Nibariki Lyrics
Kuna wakati ambao, nilijiona duni sana
Kuna wakati ambao, nilijidharau sana
Kuna wakati ambao, niliona niko chini sana
Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana
Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana
Kuna wakati ambao
Walo na shida kama wewe watakucheka
Kuna wakati ambao
Uliodhani ni marafiki watakutoka
Kuna wakati ambao
Utadhani Mungu wako amekuacha
Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana
Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana
Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie
Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie
Watakudharau wakikucheki kibandani
Na kumbe yeye amekuchora kiganjani
Kwani maisha yako yako duni namna gani?
Na kumbe yeye amekuseti mpangoni
Anakuja kuja, nenda nami
Mpaka mwisho kileleni
Nibless wike kamili
Maisha yangu kwa milli
Mentally financially
Emotionally physically
Nibless wike kamili
Maisha yangu kwa milli
Mentally financially
Emotionally physically
Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie
Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie
Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie
Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Nibariki (Single)
Copyright : (c) Guardian Angel Global
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GUARDIAN ANGEL
Kenya
Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...
YOU MAY ALSO LIKE