Home Search Countries Albums

Nibariki

GUARDIAN ANGEL

Nibariki Lyrics


Kuna wakati ambao, nilijiona duni sana
Kuna wakati ambao, nilijidharau sana
Kuna wakati ambao, niliona niko chini sana

Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana 
Kumbe machoni pa Mungu tofauti sana 

Kuna wakati ambao 
Walo na shida kama wewe watakucheka
Kuna wakati ambao 
Uliodhani ni marafiki watakutoka
Kuna wakati ambao 
Utadhani Mungu wako amekuacha

Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana
Kumbe ya Mungu ni mengi, ni Mengi sana

Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Watakudharau wakikucheki kibandani
Na kumbe yeye amekuchora kiganjani
Kwani maisha yako yako duni namna gani?
Na kumbe yeye amekuseti mpangoni

Anakuja kuja, nenda nami
Mpaka mwisho kileleni
Nibless wike kamili
Maisha yangu kwa milli
Mentally financially
Emotionally physically

Nibless wike kamili
Maisha  yangu kwa milli
Mentally financially
Emotionally physically

Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Nipe kibali nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Mungu wangu nibariki
Nibariki niwashuhudie
Nipe fedha nimiliki
Nimiliki nikutumikie

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nibariki (Single)


Copyright : (c) Guardian Angel Global


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GUARDIAN ANGEL

Kenya

Audiphaxad Peter, better known as Guardian Angel, is a Gospel afrorap and dancehall singer and Songw ...

YOU MAY ALSO LIKE