Home Search Countries Albums

Ongeza Cover (Diamond Platnumz)

GOLD BOY

Ongeza Cover (Diamond Platnumz) Lyrics


(Gold Boy)
Mi kwako sikuingia miguu
Mikono hadi kichwa 
Kiufupi mazima
Nikiamini wa kufa kuzikana

Yaani hoi sio nafuu
Mahututi kabisa hata mashaka sina 
Nikiamini
Utatengwa na Maulana

Mvumilivu hula mbivu 
Nimengoja mpaka zikaoza
Naambulia maumivu 
Ningali sina wa kunipoza

Sijui yangu stahimilivu
Kunyenyekea kwaniponza
Napambania utulivu
Mwezangu chuki unaikoza

Sikukufuta machozi
Ulipolia nikalia na wewe
Sasa mbona wanipa majonzi
Yaani stress mapombe nilewe

We ndo wangu Yesu Mkombozi
Sa mbona Petro unaniacha mwenyewe
Nikose usingizi na njozi 
Ndo ufurahi okay sawa

Si unataka nitukanwe
Ningekupa nini tena
Hukumeza ukatema
Mi sina gari
Hukumeza ukatema

Ongeza ongeza bado
Ongeza ongeza bado
Ongeza ongeza bado
Ongeza ongeza bado

Kisichokuua hukukomaza
Ati umasikani huo msemo mi nakataa
Maana jua linapoangaza ndo sina afadhali
Mi kwangu ni mabalaa

Oooh najitahidi kumsinga mwali
Ila somo nalikataa
Oooh penzi letu si la kibatari
Anayamwaga mafuta taa

Kutwa ni purukushani 
vurugu ndani hapakaliki
Roho inaniuma yaani
Sa kwanini sa tunagombana sweetie

Nisamehe 
Kunikomesha umepata bwana la kihaya
Sababu
Umeichoka jeuri yangu ya Kigoma

Ongeza ongeza bado
Ongeza ongeza bado
Ongeza ongeza bado
Ongeza ongeza bado

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ongeza Cover (Diamond Platnumz) (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GOLD BOY

Tanzania

Gold Boy is an artist from Tanzania best known for popular music covers. ...

YOU MAY ALSO LIKE