Super Lyrics
Ulipokuwa unaleft
Ulidhani wewe si jini
Ati nitasuffocate
Kajifanya hotcake
Ukataka kubembelezwa
Kumbe nimeshakudelete
Kila mara taka pizza
Na umefugwa kwa mirenda
Kajifanya kitega uchumi
Kila uonacho unaigiza
Nywele zako toka China
Kempinsky twende dinner
Kawa kupe mwenzio
Nikakonda nikabaki kijiti mwili sina
Uliponiacha
Mwenzio mi nanepa
Ona kitambi kishashuka
Mwenzio mi nanepa
Nkala pa fudhima
Mwenzio mi nanepa
Sina stress wala balaa
Mimi nanepa
Mambo yangu yote(Super)
Mwenzio nilompata(Super)
Ananipa vyote
Super, super, super
Mambo yangu yote(Super)
Mwenzio nilompata(Super)
Ananipa vyote mimi
Super, super, super
Japo niliamua kukupenda
Wewe eeh
Ila nikawa kifaranga
Wewe mwewe
Ah-ah moyo wangu ukauvuruga
Atokuni hele za tapata
Sina hata macho ya kukuona
Nahisi naweza tapika
Ni wa kutala anafonza
Nimepate mwingine
Ananipa raha
Uliponiacha
Mwenzio mi nanepa
Ona kitambi kishashuka
Mwenzio mi nanepa
Nkala pa fudhima
Mwenzio mi nanepa
Sina stress wala balaa
Mimi nanepa
Mambo yangu yote(Super)
Mwenzio nilompata(Super)
Ananipa vyote mimi
Super, super, super
Mambo yangu yote(Super)
Mwenzio nilompata(Super)
Ananipa vyote mimi
Super, super, super
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Super (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE