Home Search Countries Albums

Yupo Lyrics


Wayahudi, wakiwaziwa mambo mabaya na Wamisri? (Alikuwepo)
Na Yusufu, wakimuuza ndugu zake kwa Waishmaeli? (Alikuwepo)
Kaka wewe, ilipobidi jukumu kujitwika baada ya baba kutoroka?
Na dada wewe, ulipoteseka, maswali chungu nzima, alikuwepo!

Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo

Ukishahidiwa mambo mabaya dhidi yako? (Alikuwepo)
Ukifurushwa 'toka kwenye ndoa na mme wako? (Alikuwepo)
Mtoto wewe, ulipokua tangatanga tena omba omba, wazazi bado wapo
Na mama wewe, ukidharauliwa na kusemwasemwa, alikuwepo!

Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo

"Siogope, mimi nipo pamoja na wewe,
Sifadhaike, mimi ndiye Mungu wako.
Nitakuimarisha na kukusaidia,
Siogope, siogope, mimi Mungu nipo"

Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Yupo (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

EVE NYASHA NGOLOMA

Kenya

Eve Nyasha Ngoloma is a kenyan gospel musician ...

YOU MAY ALSO LIKE