Nimejaribu Lyrics
Nimejaribu nilie lie
Nikusahau wewe
Nimejaribu kujikusanya
Ukaniacha mi na aibu
Wengine wanicheke
Ju uko na mwingine
Nimejaribu kujikusanya
Nikusahau wewe, nikusahau wewe
Nikusahau wewe, nikusahau wewe
Pengine nilikawia sana
Kukupeleka likizo
Ikaleta matatizo
Ulitamani sana Masai Mara
Au pengine nilichelewa sana
Usiku wa manane nilifika
Nimetoka mi kuimba ju niko biashara
Silipwi mishahara
Na ningependa nikuchukie mami
Lakini mi si ka wewe
Hata kisasi nikulipize
Lakini mimi sio wewe
Nimejaribu nilie lie
Nikusahau wewe
Nimejaribu kujikusanya
Ukaniacha mi na aibu
Wengine wanicheke
Ju uko na mwingine
Nimejaribu kujikusanya
Nikusahau wewe, nikusahau wewe
Nikusahau wewe, nikusahau wewe
Pengine nilikupenda sana
Ulipokosa nikakimya
Hadhi yangu ukaishusha na nikakusamehe
Au pengine niombe msamaha
Sikutosha mimi kwako
Ukatafuta wa kando bado nikakusamehe
Na ningependa nikuchukie
Lakini mi si kama wewe
Ningependa nikusengenye
Lakini mi si kama wewe
Nimejaribu nilie lie
Nikusahau wewe
Nimejaribu kujikusanya
Ukaniacha mi na aibu
Wengine wanicheke
Ju uko na mwingine
Nimejaribu kujikusanya
Nikusahau wewe, nikusahau wewe
Nikusahau wewe, nikusahau wewe
Nikusahau wewe, nikusahau wewe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Colours of Love (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ELANI
Kenya
ELANI is a Kenyan music group made up of Wambui Ngugi, Maureen Kunga and Bryan Chweya. They met at t ...
YOU MAY ALSO LIKE