Sawa Tu Lyrics
Navimba vimba vimba
Sawa tu
Natamba tamba tamba
Black mama
Sawa tu
Navimba vimba vimba
Sawa tu
Natamba tamba tamba
Kisa nilikuacha ndo unanitangaza nina kibamia
Sawa tu
Nijuzi juzi we ulisema nimefumaniwa
Sawa tu
Mara unanitusi ukidai eti minichawa
Sawa tu
Mvuta bangi siko sawa nimepagawa
Unanisema vibaya, eti misina haya
Hali yangu nimbaya, unanita malaya
Unanisema vibaya, eti misina haya
Hali yangu nimbaya yuuuh eeh
Eti mindo bingwa wa kiki
Sawa tu
Sishikiki, sawa
Sina mashabiki
Sawa tu
Mnafiki sawa
Eti mindo bingwa wa kiki
Sawa tu
Sishikiki, sawa
Sina mashabiki
Sawa tu
Mnafiki sawa
Navimba vimba vimba
Sawa tu
Natamba tamba tamba
Sawa tu
Navimba vimba vimba
Sawa tu
Natamba tamba tamba
Sawa tu
Watoto wanita alamba, nalamba lamba
Nawapa pipi walamba, alamba lamba
Wanaona haya wanayumba, yumba yumba
Wakiniona wanachimba, chimba chimba
Unanisema vibaya, eti misina haya
Hali yangu nimbaya, unanita malaya
Unanisema vibaya, eti misina haya
Hali yangu nimbaya yuuuh eeh
Eti mindo bingwa wa kiki
Sawa tu
Sishikiki, sawa
Sina mashabiki
Sawa tu
Mnafiki sawa
Eti mindo bingwa wa kiki
Sawa tu
Sishikiki, sawa
Sina mashabiki
Sawa tu
Mnafiki sawa
Navimba vimba vimba
Sawa tu
Natamba tamba tamba
Sawa tu
Navimba vimba vimba
Sawa tu
Natamba tamba tamba
Sawa tu
Navimba vimba vimba
Natamba tamba tamba
Navimba vimba vimba
Natamba tamba tamba
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Sawa Tu (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE