Mapenzi Basi Lyrics
Mi mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Basi sitaki
Yalinifanya nikaugua
Mara napanga napangua
Mwili ukakonda nikapungua
Ah sikulala, sikulala
Oh maradhi nikaugua oh
Yakanichoma na kuungua roho
Kutwa nawaza na kuwazua
Sikulala
Hayo mapenzi bwana, hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana, nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Ai haya mapenzi bwana, hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nkagombana, usiku mchana
Yeye
Mi mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Basi sitaki
Oh nilishagombana na mama mzazi
Akataka nimwagia radhi
Sababu yule fulani, yule wa moyo wangu
Yakaleta zengwe kwa kazi
Ugomvi wa simba na panzi
Vurugu kwa majirani
Ah, ee Mola wangu
Hayo mapenzi bwana, hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana, nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Ai haya mapenzi bwana, hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nkagombana, usiku mchana
Yeye
Mi mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Basi sitaki
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2014
Album : Diamond Singles (Single)
Copyright : (c)2014
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
DIAMOND PLATNUMZ
Tanzanie
Diamond Platnumz, né Naseeb Abdul Juma, né le 2 octobre 1989, est un chanteur et ...
YOU MAY ALSO LIKE