Home Search Countries Albums

Kwanini Lyrics


Ah! Usinione nalia
Moyoni naumia
Kila siku maugomvi, unanukia mabia
Ina maana unataka usema
Huu moyo wangu hatambui
Thamani ya mapenzi
Ndo imegeuka kuwa uadui

Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado
Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado

Ukose raha
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe

Nishachoshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Mara leo limekwisha hili
Kesho kutwa tena ghafla limezuka tena jingine
Choshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Leo limekwisha hili, kesho lingine eh!
You just don't know
Naumia umia umia umia umia
Eeeh ah!
You don't know
Naumia umia umia umia umia
Hiiiii...

Ukose raha
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2014


Album : Diamond Singles (Album)


Copyright : (c)2014


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

DIAMOND PLATNUMZ

Tanzania

Naseeb Abdul Juma ( born on 2nd October 1989 ), popularly known by his stage name Diamond Platnumz, ...

YOU MAY ALSO LIKE