Home Search Countries Albums

Free Will

DEWYNE

Free Will Lyrics


Tupo hot kama chai
Tunawaka tuna wai
Middle finger kwako we ifunge kama Tai
Wanasema nigga huniwezi mi Dewyne
Na natisha kama pizza mi nifunge kama Tai
Nazama ulingoni nakimbiza zangu njozi
Labda jah abless nami kuwa kama Boss
Nafunga kila pande na mabillions
Watu wana change colour ka kamillion
Eti kisa gari, mali na mamillion
Wanaleta na magonjwa kisa million
Ila wakifa hawazikwi na mamillion
Binadamu wanazika sio million

Mi napita mchaka mchaka
Nakanyaga Rapper Rappers
Wanaojiita Rapper Trappers
Kumbe kazi kula bata
Wakipata zao chapa
Kula bata na madada ,na kuslang zao chata eti wao
Godfather nigga Nooo
Staki usnitch wako nigga , Gooo
Chata ni michano sio yoo
Kuimba kwako Skor Skor
Unawaza chu chuuuu

Yeah ,Navaa hii michano ,iwe kama suti
Nashusa tu michano ,ninavaa kama buti
Nashusha flow zangu kali kama parachuti
My niggas wanasema, Yeah, Do it
Embu zama ulingoni
Pigania zako njozi
Ukiskia soma, Jua kwenu
Huna urithi
Imma keep wonders Sound like a Vest on me
Wakaweka mpaka nia kuni invest on me
Walking through amolo damn,Na machains on me
Designer look the best,put the chains on me
Tena sina presha ,nima chains on me
Independent gotta people who depend on me
Snitch daily walijua kupretend on me
Sasa nina mali wanaspend on me
Mkale wa wa kale kudepend on me
Mi Dewyne, Deeblery walisign on me
 My niggaz they go, praise on me
Nasasa im the Gang,Goli
Sina Gang,Gang Rollin
Nama Ferrari

Put the chains on the nigga
But i flex with the nigga
My niggaz they go say, i go flu all the filters
Yeah, imma hit it
I go smoke all weed
My nigga they go smoke
But i roll all will

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Free Will (Single)


Added By : Dewyne

SEE ALSO

AUTHOR

DEWYNE

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE