Yahweh Lyrics

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Upendo gani huo, Baba ulinipenda nao
Hata ukamtoa mwanao Yesu
Azaliwe kama mwanadamu afe msalabani
Aniokoe mimi, mwenye dhambi eeh
Niseme nini eeh Baba
Niseme nini ila niseme uinuliwe
Niseme nini eeh Baba
Niseme nini ila niseme uinuliwe
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Relax, sikiza nikueleze
Ni kama sina akili mi
Kila nikifanikiwa
Wananyakua chini chini
Relax, sikiza nimwambie eh
Watu watabonga mengi
Nilipokosana na mchumba
Walidhani nimechizi
Niseme nini mimi?
Nimechoshwa walimwengu
Nimejaribu kujinyamazia
Lakini bado naumia
Nifanye nini mimi
Nawachia Maulana
Yeye alisema atanipigania
Na haya yote namuachia eh eh
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Imba tena Yahweh
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Umevikwa utukufu na heshima
Nguvu na uweza
Kila goti litakunjwa
Na kila ulimi utakiri wewe ni Mungu
Uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2015
Album : Yahweh
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
DENNO
Kenya
Denno real name Denis Kariuki is a gospel artist/minister from Kenya. Denno was formerly signed ...
YOU MAY ALSO LIKE