Home Search Countries Albums

Ubani

Daroon

Read en Translation

Ubani Lyrics


Daroon

Ubani Ubani ubani

Ubani ubani ubani

Ubaanii wa ubani ubani ubani ubani

Noooooh

Nakupenda kwel si utani kutoka moyoni weeh ndo wangu tabibu

Sina roho ya shetwani kukuweka motoni kwanza spendi upate tabuu

Walisema mengi Eti mimi sifai kuwa naweee Yeeeeh

Kisa Sina shiringi wakuteke tuu wawe Nawe

Ila Mungu ni mkubwa sana kabariki penzi mpaka tunapendana

Naona hii ni kama karama hatuachani mpaka kesho milele kiama

Aaaah Maidia sweet Niamni kamwe sitokusariti

Oooh nooh Yeeh

Uchafu nishadiliti nataka Kuona penzi linakua Fiti Oooh Nooh

Ubani Ubani Wangu wa Ubani

Ubani Ubani Wangu wa Ubani

Uba uba Ubani wangu wa Ubani

Uba Uba Ubani wangu wa Ubani

Nnoooo Noooooh

Nooooo ooooooh

Ooh kimwali mi nakupenda, Ukiniacha mbali minitakondaaa

Wahalali mi nishasalenda

Kwa penzi tamu tamu kwako nalipendaaa

Usiniukumu usinilaumu kwa penzi lako ushanipa sumu

Njoo unipe Tamu penzi lidumu Maana wewe kwangu ni adhwimu

My dear sweet Niamini kamwe sitokusariti Oooh nooh Yeeh

Uchafu nisha delete nataka Kuona penzi linakua Fiti Oooh Nooh

Ubani Ubani Wangu wa Ubani

Ubani Ubani Wangu wa Ubani

Uba uba Ubani wangu wa Ubani

Uba Uba Ubani wangu wa Ubani

Wangu wa Ubani

Ubani Ubani Ubani ubaaniii

Daroon

Totoz nation

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Baraka Bakari Mkande

SEE ALSO

AUTHOR

Daroon

Tanzania

Names: Abubakar Hossein Ngogo Also Known As Daroon Record Label: Totoz Nation Genre: High-life and ...

YOU MAY ALSO LIKE