Home Search Countries Albums

Jishushe Lyrics


Oooh oooh oooh oooh...
Yeah 
Oooh...
Yeah yeah yeah
Oooh...oooh yeah

Watu wawili, walikwenda hekaluni
Mmoja farisayo na mtoza ushuru
Watu wawili, walikwenda hekaluni
Mmoja farisayo na mtoza ushuru

Yule farisayo aliomba hivi
Eeeh Mungu mimi si kama yule

Mi nafunga kwa juma mara mbili
Hutoa zaka katika mapato yangu
Mi nafunga kwa juma mara mbili
Hutoa zaka katika mapato yangu

Lakini yule mtoza ushuru
Alisimama mbali, akijipiga piga kifua 
Akisema eeh Mungu uniwie radhi 
Mimi mwenye dhambi

Lakini yule mtoza ushuru
Alisimama mbali, akijipigapa kifua 
Akisema eeh Mungu uniwie radhi 
Mimi mwenye dhambi

Yule mtoza ushuru 
Alienda nyumbani
Amehesabiwa haki 
Kwa kujishusha kwake

Yule mtoza ushuru 
Alienda nyumbani
Amehesabiwa haki 
Kwa kujishusha kwake

Unaeza ukadhani una haki
Wenzio wana dhambi kwenye ardhi
Utu unafichwa kwa vazi
Ukajikweza ukajiona uko safi 
Kumbe wapi?

Kinacho hitajika ni nafsi
Amani na umoja tuko sawa kila mmoja
Hatutofika ka tunabaguana bila uoga
Tushikamane hakuna aliye mkamilifu
Tenda mema ila usijisifu

Yeah, yeah yeah
Ooh ndugu nijishushe 
Mbele za Mungu
Akuongoze kwa wakati wake 
Jishushe, jishushe

Ooh ndugu nijishushe 
Mbele za Mungu
Akuongoze kwa wakati wake 
Jishushe, jishushe

Ooh ndugu nijishushe 
Mbele za Mungu
Akuongoze kwa wakati wake 
Jishushe, jishushe

Eeeh yeah
Bwana anakuona wewe
Na moyo wako(Moyo wako)
Ibada yako(Ibada yako)
Mbele zake(Mbele zake)

Bwana anakuona wewe
Ukweli wako(Ukweliwako)
Na sadaka zake(Na sadaka zake)
Mbele zake(Mbele zake)

Oooh oooh...
Bwana anakuona
Oooh oooh...iyeee!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Jishushe


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CORNELIO STEPHANO

Tanzania

Cornelio Stephano is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE