Home Search Countries Albums

Jojina Lyrics


Yeah yeah yeah
Ooh yeah yeah
Yeah
Bruce Africa pon dis again
Dis again

In my life, life
Sijawahi penda tena Kama hivi, hivi
Napata raha
Kumpata kama yeye si rahisi
Not easy yeah yeah
Na tulifanya Tambiko
Tambiko ko ko
Tumejipanga si Kitoto
Alipo mi nipopo
Tumeshibana, si tupo
Tambiko, Tambiko koko
Tumejipanga si Kitoto
Alipo mi nipopo
Si mfuniko na kopo yayaah

Nobody gonna fit
Si tumesha keti
Ni upendo wa Kweli
Sio unafki , yeeeh
Kashikilia jimbo yeye mwenyekiti , yeah
Mwenyekiti , yeah

Niachieni Wangu
Joji, jojina
Joji, jojina
Joji, jojina
Joji
Niachieni wangu
Joji, jojina
Joji, jojina
Joji, jojina
Jojina

Jojina mwana mama
You too fine na
The way you dress like designer
Kwako Nguvu sina
Wakinipima, na
Vipimo vyote lako jina
Tena mwana mama
Nimejikana na
Mimi ni wako tu wa daima
Kwako Nguvu sina
Wakinipima, na
Vipimo vyote lako jina
Tambiko, Tambiko koko
Tumejipanga si Kitoto
Alipo mi nipopo
Si mfuniko na kopo yayaah

Nobody gonna fit
Si tumesha keti,
Ni upendo wa Kweli
Sio unafki ,yeeeh
Kashikilia jimbo yeye mwenyekiti ,yeah
Mwenyekiti , yeah

Niachieni Wangu
Joji, jojina
Joji, jojina
Joji,jojina
Joji
Niachieni wangu
Joji, jojina
Joji, jojina
Joji,jojina
Jojina

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Jojina (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

BRUCE AFRICA

Tanzania

Bruce Africa is a musician from tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE