Home Search Countries Albums

Bila Bazenga Inaboh

BREEDER LW

Bila Bazenga Inaboh Lyrics


We ulipitwa na wakati
Mi niko ahead of my time
Floor yako imebeat hainyc
Na mi nakuja na the new design

Vile underdog nimerise
Madoggy za kwenyu hazinyori hizi sides
Kwa mikono za Jah na-reside
Mabani wote watarecognise ah

Nafufua rap mi ndo remedy
Songa mbali ka una negative energy
Nisiporoga si nitadedi mi
Nitaroga hadi nigonge ka seventy

Bazenga dadii jina biggy
Itabidi hadi Uhunye anipe kazi kwa ministry
Naogopa pongi unatupa hata kushinda pongi ina syphilis
Nikistep ni ma-timber oriji, leather feel hiyo texture

Na-excel kwa hii fani ya muziki
Mrazi keti upigwe ki-lecture
Siku hizi wakitaja quotation
Kile nasema ni ongeza pesa

Siku hizi niko on rotation 
Utadhani naishi maisha kwa blender
Uh msupa magician ju amefanya chuma ikambao
Ligi si mia ni thao, nashika hisia zao
Mambus wanateta ni how? Fimbo haitoshei kwa trao

They say I'm busy and proud 
When the money came around
We ni fala ju ulidoubt hii skill 
Mfalme ni mimi si wao

Uh hype na ambition
Ni vitu mbili niko nazo kwa wingi
Ni Breeder tu na BBI kwa hizi gazeti na TV
Unatakaje kukafunga na huna bidii kwa CV

Mi hukata waba na Joe Muchiri hapo ndani 18
Impsossible kunibeat ka kudishi crips na uma
Wakingoja nifall off ole wao mi navuma
Mitego zao niliruka ka ile logo ya PUMA

Mi hupendaga ma petite ka ile figa ya Huddah
Tenje inalia, guess ni nani anadunga?
KOB bana niko na shoot niokolee kidinga
Flow ni mbaya nahitaji G bag basi leta booster

Ambia marapper moto nawasha hawataweza zima
Ah tenje inalia, nani tena anavuta?
'Breeder bana mi ni rapper na nataka favours'
Iza bana ka ni verse ujue nai-quote a mita

Hujai skianga hizo mabere mi hushika na doh za feature
Uh tulia, ka sina form nimetulia
Kejani wasupa ka kumi na
This year watanichukia

Sishiki cladi za Jumia
Nikifika ni ka movie yah
Hollywood kwenye cinema
Drip imejaza ma jerrycan

Bongi imejaa seminar
Ndani ya booth na Berinjah
Ngoma zote zina enea
Kwa club pandemonium

Ju Bazenga Dadii ako area
The louder the merrier
TK si ni sheria
Nikiifanya na-deliver

Yoh yoh yoh bazenga dadii
Cobra TK, you don't know
Breeder LW manze 
Sijui hawa wasee  ata tunashindaniaga nini
Uko chini bila Breeder inaboo manze

Vile naifanya ni mbaya ni mbaya sana
Siezi legea ju leo si ka jana
Manzi hunihold ka taya za Hammer
Fire in the booth the mic is on fire]
-- killer for hire
Murder Mc's wabaki so dire
I fuck the game fi easy no gainer
Na mfalme ni mimi hapa no bias

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Bila bazenga inaboh (Single)


Copyright : (c) 2020 TK(Tough Klan) Records


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BREEDER LW

Kenya

Paul Baraka, known by his stage name Breeder LW, or Bazenga Dadii/ Papa Fathela is a kenya ...

YOU MAY ALSO LIKE