Home Search Countries Albums

Story Ilianza

BOUTROSS

Story Ilianza Lyrics


This (ooh ooh yaah) 
Vile nilipatwa (aye)vile nilipatwa
Yeah yeah yeah yeah 
(Ooh yaah) Vile nilipatwa (aye) 
Yeah yeah yeah

Story ilianza like this 
Vile nilikutana na Peng (Peng) 
Haga ilikuwa legit (Legit) 
Jegi zilikuwa zinadance (Dance) 
So ilibidi nimechora (Chora) 
Vile chipo atachotwa (Chota) 
Kumbe huyu ngeus anachora (Chora) 
Vile Bouti atatokwa (Yeah yeah ayee)

Ngeus alikuwa amepagawa (Pagawa) 
Ningejua hapa ni tafash (Tafash) 
Alispike up the liquor (Ooh) 
Hapa bado nikizama (Nikizama)

Kichakani nilisaka (Ooh) 
Nikapata nikawinda  (Winda) 
Mi ata sikuwa rada (Sikuwa rada) 
Nilianza tu kuzima (Aye)

Shawty ran off with a laptop (Laptop) 
Chains na Bluetooth speaker 
Then nikaenda kwa kitchen (Kitchen) 
Ata noodles aliiba (Maze) 
Buda ilibidi nimewasha (Aaah) 

Nitulie tu nikiwaza (Waza)
Vile huyu ngeus ameshinda(Shinda) 
Anajua alimaliza (Yeah aye aye) 
Ata nikipiga hiyo mbana (Mbana)

Mteja tu ndio mi naskia (Prrprr) 
Ngeus ametambulika (Lika)
Mi nililalia maskio (Mi nililalia maskio)
Buda nilijua nimepatwa (Patwa) 
Vile nilikuwa naona anaskwa (Sakwa) 
Ilibidi nimewasha (Ayee) 
Niendelee tu nikiwaza (Yeah yeah )

Story ilianza like this 
Vile nilikutana na Peng (Peng) 
Haga ilikuwa legit (Legit) 
Jegi zilikuwa zinadance (Dance) 
So ilibidi nimechora (Chora) 
Vile chipo atachotwa (Chota) 
Kumbe huyu ngeus anachora (Chora) 
Vile Bouti atatokwa (Yeah yeah ayee)

Story ilianza like this 
Vile nilikutana na Peng (Peng) 
Haga ilikuwa legit (Legit) 
Jegi zilikuwa zinadance (Dance) 
So ilibidi nimechora (Chora) 
Vile chipo atachotwa (Chota) 
Kumbe huyu ngeus anachora (Chora) 
Vile Bouti atatokwa (Yeah yeah ayee)

Shida Bouti alipewa hiyo duri vizuri
Bouti aliibonda
Buda hakuuliza mbona tumetoka hiyo dunda 
Na dame hajachoka 

Kumbe huyo ngeus ako maji 
Ju saa sita ya usiku alitema mogoka 
Vile nilikuwa mangwai 
Hadi nilicheki huyo dame akidoze na toja

But usiku alivyochachisha shawty alipanda 
Hadi kwa dirisha 
Vile ananyonya anapandisha 
Hakuna time mzae alilalishwa 

Buda hiyo mtaa inatisha 
So ata akisonga mi sikusoma 
Ni ka mchele ilikuwa ndani ya cola 
Ju nilichoma then nikabonda then kitanda ikabonga 

Lakini kitanda ni usiku wa manane 
Baridi ilikuwa inanigonga 
Ju dem alitumia bedsheet 
Kubeba njumu na nguo za Gikomba  

Dame alihepa na mali 
Lakini aliseti bado nyongi moja 
Ratchet intention
Shawty imagine chenye aliniachia ni ngotha

Story ilianza like this 
Vile nilikutana na Peng (Peng) 
Haga ilikuwa legit (Legit) 
Jegi zilikuwa zinadance (Dance) 
So ilibidi nimechora (Chora) 
Vile chipo atachotwa (Chota) 
Kumbe huyu ngeus anachora (Chora) 
Vile Bouti atatokwa (Yeah yeah ayee)

Story ilianza like this 
Vile nilikutana na Peng (Peng) 
Haga ilikuwa legit (Legit) 
Jegi zilikuwa zinadance (Dance) 
So ilibidi nimechora (Chora) 
Vile chipo atachotwa (Chota) 
Kumbe huyu ngeus anachora (Chora) 
Vile bouti atatokwa (Yeah yeah ayee)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Story Ilianza (Album)


Copyright : (c) 2020 ADF


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BOUTROSS

Kenya

Boutross Munene is a Composer/Producer/Rapper from Kenya. Boutross is from the AD Family a kenyan sh ...

YOU MAY ALSO LIKE