Home Search Countries Albums

Ukam Lyrics


Vile ninakaa niko fresh
Vile ninavaa it's my choice
Ata sure akinikataa, her choice
Cheki luku haikai, my pose

Mmmh fanya fasta ukam
Fasta ukam
Fanya fasta ukam
Fasta ukam

Uh vile ninakaa unaezadhani nina dinga
Si kama race mbuzi ndo rende so mo huringa
Na mi si kitanda usidhani utanitandika
Bars kuzipanga si ofcourse utakakati

Vhaminto, Vhaminto
Niko on heats sidai jiko
Sinyongi hadi peng aniwai kiko
Hio bash si bash ka mi siko

Sasa, fit
Uko sure hii kitu itafit
Na baby ikimwagika utasip
Nataka tukuwe friend for keep

Gee na G
Ma ex wangu wote wanatii kutii
Vile nilimwacha kama nimedig kudig
Sai dryspell wanaipiga, kupiga, cheat

Vile ninakaa niko fresh
Vile ninavaa it's my choice
Ata sure akinikataa, her choice
Cheki luku haikai, my pose

Mmmh fanya fasta ukam
Fasta ukam
Fanya fasta ukam
Fasta ukam

Unawika chuma inalika
Debe kwa nganya sauti kuskika 
Hauko maubao chuma hauwezi maliza
Kanadai head na ulimi imeumika

Ngeus wa kinoi, nina chuma hupiga noise
Nina geri flani hushanda madem wanapenda toys
Ngori ngori ni ati rapper bila pesa ye ni goi
Mi ni ngori manzi yako hunicheza kitu woi

Nikaweka peddy pause, ma particles
Sha, shada ziko kwa riko
Tunavuta konki ju ni bagiko
Zimeriet ai ai ni makariko

Leo nitawadishi ka karanga ah
Huskii kuna boo boo kwani blunder ah
Huskii niko jaba so namanga
Nitawateka one one nitawapanga

Vile ninakaa niko fresh
Vile ninavaa it's my choice
Ata sure akinikataa, her choice
Cheki luku haikai, my pose

Mmmh fanya fasta ukam
Fasta ukam
Fanya fasta ukam
Fasta ukam
(Ukikawia mi naleft, mi naleft)

Fanya fasta ukam mmmh uber imelate
Chini ya maji nilicast my net
The only thing mi huchoma ni bet
Na ngwai tu kiasi see thu' yake ya net

Akija fast mi humshika by the neck
Nyongolo ukipigwa unanyongwa by the neck
Na exams ukifail basi hujapita KNEC
Mi humtick na ma X fisi ikikuja kwa Check

Ongeza volume tusere bana
Naficha sura niko undercover
Na sakere naziende zikingwata
Ziende  zikingwata

Nakupiga koto na nunu inashanda
Tingika basi na unyanye sana
Nakupiga koto na nunu inashanda
Tingika basi na unyanye sana

Vile ninakaa niko fresh
Vile ninavaa it's my choice
Ata sure akinikataa, her choice
Cheki luku haikai, my pose

Mmmh fanya fasta ukam
Fasta ukam
Fanya fasta ukam
Fasta ukam

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Genge La Bundoski (Album)


Copyright : (c) 2021 Black Market Records


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BOONDOCKS GANG

Kenya

Boondocks Gang: members include ( Exray, Odi wa Murang'a and Maddox )  is the Kenya ...

YOU MAY ALSO LIKE