Home Search Countries Albums

Ntala Nawe

BENSOUL

Read en Translation

Ntala Nawe Lyrics


Eeh Mpenzi we usiwe na mashaka
Ingawa mashida kesho tutatoboa
Nikiwa kwa raha tufurahi pamoja
Nami napo lia we wanipa faraja mama

Ntala nawe, ntala nawe
Kwenye shida ama kwenye furaha
Mi ntala nawe, ntala nawe
Kwenye jua ama kwenye mvua

Ona nyota zetu zinavyometameta
Na ukitabasamu unatabasamu sana
Nikiwa kwa giza unakuwa mwangaza
Tuliyopitia umenivumilia 

Dada ntala nawe, ntala nawe
Kwenye shida ama kwenye furaha
Mi ntala nawe, ntala nawe
Kwenye jua ama kwenye mvua

Mi ntala nawe, ntala nawe
Kwenye shida ama kwenye furaha
Ooh mi ntala nawe, ntala nawe
Kwenye jua ama kwenye mvua

Ntala nawe, ntala nawe
Kwenye shida ama kwenye furaha dada
Mi ntala nawe, ntala nawe
Kwenye jua ama kwenye mvua

(Kwenye jua ama kwenye mvua)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Medicine (EP)


Copyright : (c) 2021 Sol Generation


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BENSOUL

Kenya

Bensoul (real name Benson Mutua Muia born  4 March 1996) is a soulful singer-songwrit ...

YOU MAY ALSO LIKE