Ni Wewe Lyrics
Bwana niko mbele zako
Mikono nainua
Natambua ufalme wako
Hosana
Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe
(Ooh hallelujah)
Bwana niko mbele zako
Mikono nainua
Natambua ufalme wako
Hosana
Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah
Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Upendo wako(wanijaza roho wewe ndiwe Mungu)
Na neno lako (lanijaza roho Mungu wa miungu)
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Ni Wewe (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BAND BECA
Kenya
Band Beca is a girl band from Kenya made up of Caro Band Beca and Becky Band Beca. They are signed u ...
YOU MAY ALSO LIKE