Home Search Countries Albums

Ni Wewe

BAND BECA

Ni Wewe Lyrics


Bwana niko mbele zako
Mikono nainua
Natambua ufalme wako
Hosana

Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah 

Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
(Ooh hallelujah)

Bwana niko mbele zako
Mikono nainua
Natambua ufalme wako
Hosana

Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah 

Baba niko mbele zako
Mikono nainua
Nitaimba sifa zako
Hallelujah 

Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 

Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Upendo wako(wanijaza roho wewe ndiwe Mungu)
Na neno lako (lanijaza roho Mungu wa miungu)

Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 
Ni wewe, nani kama wewe
Ni wewe, hakuna kama wewe 

Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza
Na malaika wanaimba kwa furaha wakisema utukuzwe Bwana
Na mataifa yasujudu yakikiri kwamba wewe ni mweza

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Ni Wewe (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BAND BECA

Kenya

Band Beca is a girl band from Kenya made up of Caro Band Beca and Becky Band Beca. They are signed u ...

YOU MAY ALSO LIKE