Accueil Recherche Pays Albums

Nakuja Remix

BALAA MC Feat. MARIOO

Nakuja Remix Lyrics


Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)
Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)

Mwenzako nishafunga mpaka maviremba (Nakuja)
Mwenzako nishapaka mpaka unga unga (Nakuja)
Mwenzako nishameza mpaka mavidonge (Nakuja)
Virusi naogopa nishanunua mi pakti nzima (Nakuja)

Kama nauli nishakutumia (Nakuja)
Sa mbona mpaka sasa mchumba hujatokea (Nakuja)
Ulitaka kijora nikakuzingatia (Nakuja)
Sa mbona simu nikipiga unanikatia (Nakuja)

Nikipiga simu mda wote unasema (Nakuja)
Kanywa wine nitakuimbia sensema (Nakuja)
Na ukiwahi nitakupeleka kwa mama (Nakuja)
Sio utani yaani amekumiss sana (Nakuja)

Mwenzako  nimekumiss mamiloo (Nakuja)
Usipokuja aki ya Mungu nitaumia roho (Nakuja)
Nakupenda mi msela sio bishoo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)

Si ulitaka hela ya ligi nikakupa (Nakuja)
Hata kijora kwa Mobetto nishalipa (Nakuja)
Si ulitaka kepe yai nishaagiza (Nakuja)
Hata kitenge kwa Wolper nishalipa (Nakuja)

Siku hizi mbona muongo mamiloo (Nakuja)
Mda wote huwa unasema uko Kariakor (Nakuja)
Punguza kujiangalia kwa kioo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nakuja Remix (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BALAA MC

Tanzanie

Balaa MC  is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE