Nakupa Moyo Lyrics

Ulikonitoa ni mbali
Kwenye panda shuka za maisha
Kwenye mvua na jua kali
Kivulini ukaniweka
Kwenye juhudi za kutafuta shillingi
Hukuninyima
Tena kwa taabu nikitafuta riziki
Ukaniinua Baba
Nyingi mondo omii duong’
Yesu ruodha, an apaki pile
In e ohingana e osimbona
An apaki pile ruodha
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo yesu wangu
Aah nipigwe na mawimbi, aaah
Umenilinda siamini
Lako sandere mangalee Zanderema yoo
Ogondo zandage mangeze Olaniwan
Umenifinyanga siamini
Yesu wangu
Umenibeb angani mimi
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo Yesu wangu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Nakupa Moyo (Album)
Copyright : © 2020 EMB Entertainment
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BAHATI
Kenya
BAHATI is a Gospel singer & entrepreneur from Kenya. He is also the CEO of EMB(Eastlands Most Be ...
YOU MAY ALSO LIKE