Accueil Recherche Pays Albums

Wewe Tu

B2K MNYAMA

Wewe Tu Lyrics


Tujihadhari beiby
Ukijua umependwa wewe mpweke wewe
Tumia nafasi beiby
Ukijua umependwa nawe upende

Kwa style hii
Utamjuaje mpenzi anayekupenda wewe
Tumia nafasi hii beiby
Ujifunze kupendwa, utaishi mwenyewe

Unapenda sana kununa 
Utaenda saa ngapi?
Na nikirudi salamu hakuna
Tunapendwa wangapi?

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Kuna siku nilichelewa kuruta
Hujui nilikuwa wapi, aah we sema
Hujui nilikufanyia kusudi 
Ina maana dhamani yangu huioni

Una shida nami kwani?
Mbona sielewi mami
Wakunieleza ni mi mami
Nijue unawaza ni?

Unapenda sana kununa 
Utaenda saa ngapi?
Na nikirudi salamu hakuna
Tunapendwa wangapi?

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Mama naona naona
Mapenzi maji ya moto yananichoma
Mama mama, (Mama mama eeh....)
Roho inaniuma niuma 
Hata nisipofanya kosa wewe una nuna
Mama mama, (Mama mama eeh....)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Wewe Tu (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B2K MNYAMA

Tanzanie

B2k Mnyama is a Tanzania artist. He is the C.E.O  of Starbeat Records. ...

YOU MAY ALSO LIKE