Accueil Recherche Pays Albums

Uhakika

B2K MNYAMA

Uhakika Lyrics



Sijakosea, hii ndio picha yako 
Navuta taswira insta post zakogo
Unakumbuka Jenny text zako 
Ulivyonijoboaga

Unanitext ukiwa na shida zako
Ambao unaombaga haya 
Halafu unaona simple tu
Umegundua sijafika huko, unanionea

Bora niwe muwazi 
Naonaga majibu yako
Yanakatisha tamaa

Najaribu kufikisha 
Ukweli wa dhamira yangu
Unabullshit mamaa

Halafu unadai 
Vile vitu ambavyo sina
Mie kupata natamani

Eti nikupe wewe
Wazazi wanateseka 
Walonileta duniani

Bora niwe mshamba wa mapenzi
Niwafurahishe wazazi nyumbani
Nitaishi kwa namba ila tambua we na mi
Urafiki wetu wa ukubwani

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote wewe

Najua maisha yako yana furaha tupu
Najua kosa lako huombi msamaha
Naona siku zote we uko bored
Au maisha yako hayataki furaha

Kama kuna njia, ya kukufanya 
Wewe unipende sana
Ilaa una nia, ya kunifanya 
Mimi niwe mnyonge

Si nasikia mapenzi ya selo leo
Lakini ni mateseo niumie
Wala hii skendo ya kuitwa mama lio
Atanielewa na kesho nitulie

Bora niwe mshamba wa mapenzi 
Niwafurahishe wazazi nyumbani
Nitaishi kwa namba ila tambua we na mi
Urafiki wetu wa ukubwani

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote wewe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Uhakika (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B2K MNYAMA

Tanzanie

B2k Mnyama is a Tanzania artist. He is the C.E.O  of Starbeat Records. ...

YOU MAY ALSO LIKE