Home Search Countries Albums

Kata Lyrics


Na nilivyokuonaga katoto shepu go gaga
Na vile umejitanda kwako baby nishadata
Na mapenzi ya kweli sio kuzo
Na kama namba nakupa 
Wengine matapeli leo najua
Ndio maana nishapenda

Yaani kinyamwezi baby nikupe roho
Usiwape mwanya wakuboo
Maana nitakwama nawe, nitakwama nawe
We ndo wangu my boo

Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza
Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza

Nataka nikuhonge jaguar mama, jaguar mama
Njoo nikupe na banana, na banana 
Tunafanana kama mapacha baby
Yaani msambwanda ukiwa kwa bed

Tatu beki ina maudeki
Yaani mpaka mi nakosaga breki
Kwako nina hisia baby nipigie 
Kidume mi badili kwako tazamia

Yaani kinyamwezi baby nikupe roho
Usiwape mwanya wakuboo
Maana nitakwama nawe, nitakwama nawe
We ndo wangu my boo

Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza
Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza

Ka ligi soo kifo cha mende chali
Yaani kama whine kwa party
Oh baby njoo sura ka mudoli
Pete nikuvishe kwa kidole

Yaani kinyamwezi baby nikupe roho
Usiwape mwanya wakuboo
Maana nitakwama nawe, nitakwama nawe
We ndo wangu my boo

Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza
Kata sokota, fanya kama unaipepeta
Kata sokota, fanya kama unaimbembeleza

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kata (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B CLASSIC 006

Kenya

B Classic 006 is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE