Home Search Countries Albums

Promise Me

AZAYZAKAH

Promise Me Lyrics


Kama maji mtungini nimetulia mama
japo nakuzimia
Sina dhamana mjini nimefulia mama
mfukoni sina hata cent mia
Sina nyumba, wala uwezo wa kulipa nilikopanga
Maisha yangu yanayumba, nahisi kama naigiza unavozanga
Je utavumilia ah, Shida! au utazikimbia
Niahidi kama utavumilia ah, ama ukichoka utanikimbia

Oooh baby Promise me iiih iiih
If you marry me iiih iiih
My baby Promise me iiih iiih
If you marry me iiih iiih

Ni mateso kiasi gani, nayopitia niahidi utavumilia
Na kama nikikosea nyumbani, nisamehe bure usiwe kirukanjia
Kama unaamini nami ipo nitapata, funga na usali baby wangu uniombee
Ya majirani eti watajakusakata, usiyajari we ni wangu acha waongee iiyeeh
Japo wawazia gari, me mwenzako ata toroli sina
Wala nyumba pesa mali, na kimuziki bado nasaka jina
Je utavumilia ah, Shida! au utazikimbia
Niahidi kama utavumilia ah, ama ukichoka utanikimbia

Promise me iiih iiih
If you marry me iiih iiih
My baby Promise me iiih iiih
If you marry me iiih Sina biashara wala mtaji

Bado bado bado
Sipati mshahara kwenye hiki kipaji
Bado bado bado
Uwezo wa kukidhi mahitaji
Bado bado bado
Najimwemwenyua ata mfariji
Bado bado bado oiiyeeh
Azayzakah
Kajoro For Life

Aah Ryanboy

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Promise Me (Single)


Added By : Zakah Kajoro

SEE ALSO

AUTHOR

AZAYZAKAH

Tanzania

Zakayo Kajoro Mashinga who popularly known for his stage name Azayzakah "RYANBOY" was born ...

YOU MAY ALSO LIKE