Chuki Lyrics
Olalalala
Maadui
Wamenizidi pesa na umri
Nashangaa
Sijui au tuseme nina kiburi
Nakataa
Hawanidai siwadai
Ila nashangaa wananichukia aah
Chuki zisizo sababu
Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee
Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee
Mi mnyonge
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge
Wanapangia waniondoe
Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
(Wanasema nalewa)
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
(Eti Aslay kaishiwa)
Mapumbu saba
Ridhiki unagawa tu maanani
Wengine labda
Wanataka kushindana na wewe
Mmh mpaka napiga magoti(Magoti)
Namlilia mama(Mama)
Kisha narudi kwako
Umlaze salama
Sawa nyinyi manoti noti
Tutakutana kiama
Mnyonge narudi kwako
Kwako Maulana
Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee
Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee
Mi mnyonge
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge
Wanapangia waniondoe
Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
(Wanasema nalewa)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Chuki (Single)
Copyright : (c)2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ASLAY
Tanzania
Isihaka Nassoro aka Dogo Aslay is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...
YOU MAY ALSO LIKE