Home Search Countries Albums

Chuki

ASLAY

Chuki Lyrics


Olalalala

Maadui 
Wamenizidi pesa na umri
Nashangaa 
Sijui au tuseme nina kiburi

Nakataa
Hawanidai siwadai 
Ila nashangaa wananichukia aah
Chuki zisizo sababu

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Mi mnyonge 
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge 
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Wanasema nalewa)

Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Eti Aslay kaishiwa)

Mapumbu saba 
Ridhiki unagawa tu maanani
Wengine labda
Wanataka kushindana na wewe

Mmh mpaka napiga magoti(Magoti)
Namlilia mama(Mama)
Kisha narudi kwako
Umlaze salama 

Sawa nyinyi manoti noti
Tutakutana kiama
Mnyonge narudi kwako
Kwako Maulana

Wana kinyambuzi kafara
Ili Aslay apotee
Ona wanavyo mwaga hela
Eeh Mungu baba unitetee

Wanamiliki mavogi vogi
Wanashindana na mi-Dangote
Wanawish hata niishiwe kodi
Nitange tange wanizomee

Mi mnyonge 
Nimlilie nani kama si wewe?
Kisa tonge 
Wanapangia waniondoe

Ila mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo
Mi najikaza hivyo
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

(Wanasema nalewa)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Chuki (Single)


Copyright : (c)2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ASLAY

Tanzania

Isihaka Nassoro  aka Dogo Aslay  is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...

YOU MAY ALSO LIKE