Home Search Countries Albums

Nimengi Lyrics


Sijui nianzie wapi nimalizie wapi kukueleza
Mama tangu undoke nimengi yametokea
Makubwa namadogo yote nimeyaona
Mabonde nimeshuka
Milima nimepanda
Wabaya nawazuri wote nimewaona
Mabaya na mazuri yote nimeyapitia
Asiye funzwa na Mama ufinzwa na ulimwengu
Ila kwayote namshukuru aliye nilinda

Natamani ungekuwepo
Uyaone Mungu aliyotenda
Ni mengi nimengi sana
Ni mengi nimengi sana
Natamani ungekuwepo
Uyaone Mungu aliyotenda
Ni mengi nimengi sana
Ni mengi nimengi sana  

Mungu ametuma malaika
Walio ni inua nilipo angukaa
Nabado wananiongoza
Ndio maana najikongoja
Ona shule nimemaliza
Hata kuoa nina karibia
Natamani ungekuwepo
Ukasherekea
Nyota yangu ya mziki naona nayo inang’ara
Mashabiki wanaongezeka
Wanazidi kuni inua
Baba anakukumbuka kweli alinipigania
Ila kwa yote namshukuru aliye nilinda

Natamani ungekuwepo
Uyaone Mungu aliyotenda
Ni mengi nimengi sana
Ni mengi nimengi sana
Natamani ungekuwepo
Uyaone Mungu aliyotenda
Ni mengi nimengi sana
Ni mengi nimengi sana
Natamani ungekuwepo
Uyaone Mungu aliyotenda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nimengi (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ALPHA RWIRANGIRA

Rwanda

Alpha Rwirangira is an artist from Rwanda. ...

YOU MAY ALSO LIKE