Let Me Lyrics
(Yogo on the....)
Aah eeh umependeza sana
Wazidi kuniteka mzuri zaidi ya jana
Hata ungekuwa na kasoro tungefanana
Nimekupata wewe mapenzi ya rabana
Wala si utani nikipanga plan huendani
Shida ya shetani ya watume tuwaita furani
Hao punguani hawajui tu kiundani
Basi nikupe imani mbaya mie wako maishani
Mama yeah yeah, pasha
Bado movie ilo kasha
Nizalie na mapacha
Naomba usahau bubwaja
Let me say, chaguo langu ni-we wewe
Let me pray, nitakufa na wewe nitadedi na wewe
Niko tayari me oh, me oh, ooooh
Niko tayari me oh, me oh, eeeh
Niko tayari me oh, me oh, eeh
Niko tayari me oh
Niko tayari me oh, me oh, me ooooh
Oyoyoyo....
Ya Mungu ni mengi
Sikudhani nitapata penzi nimependa wengi
Nilikuwa uwanjani lakini nimevua jezi
Nikang'oa nanga kwenda Bongo nikafika Mbenzi
Nikuonyeshe
Aliye na macho haambiwi tazama
Yaani toto kaumbika kukukosa itakuwa lawama
Eh na palipo na nia pia pana njia
We ndo wangu malkia tena taji nishakuvisha
Ale mama yooo yooo (Washa)
Na mahaba yote (Washa)
Ni zawadi nimepata
Roho imelia mbwata
Aya yooo yooo (Washa)
Na mahaba yote (Washa)
Ni zawadi nimepata
Roho imelia mbwata
Let me say, chaguo langu ni-we wewe
Let me pray, nitakufa na wewe nitadedi na wewe
Niko tayari me oh, me oh, ooooh
Niko tayari me oh, me oh, eeeh
Niko tayari me oh, me oh, eeh
Niko tayari me oh
Niko tayari me oh, me oh, me ooooh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Only One King (Album)
Copyright : (c) 2021 Kings Music/ Ziiki Media
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ALIKIBA
Tanzania
Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...
YOU MAY ALSO LIKE