Bei Bae Lyrics

Nilipokuona sikutoa shilingi nikubuy
Uliponiona hukutambua kwamaba sikufai
Mkono ni ule ule ulikugusa kwanza
Macho ni yale yale yaliyo kuvuta kwangu
Kwa muda sasa hujalala kwa kitanda changu
Naona kuna vile, umepanda bei
Sasa woona mi sifai
Nikikuita bae, bae eeh
Wasema hizo vako we hudai
Umepanda bei, bae eeh
Attention tena hunipei
Angalia bei, bae eeh
Umenikaba koo kama tai
Umeniown mi nakufuata kama religion
Wabadili rangi ka chameleon
Mara uko nami mara mwingine
Umeniown mi nakufuata kama religion
Wewe wabadili rangi ka chameleon
Mara uko nami mara mwingine
Naona kuna vile, umepanda bei
Sasa woona mi sifai
Nikikuita bae, bae eeh
Wasema hizo vako we hudai
Umepanda bei, bae eeh
Attention tena hunipei
Angalia bei, bae eeh
Umenikaba koo kama tai
[Jua Kali]
Ulisahau mambo yetu ya kibandaski
Naskia zako siku hizi ni Kempinski
Madharau ndogo ndogo zimeanza
Mambo ya mhogo uliacha siku hizi ni pasta
Simu zangu nazo uliacha kushika
Niliambiwa ulikua mahali fulani ukishikwa
Naskia kwa club kila wikendi unachafua
Chunga sana hao mavijanaa watakuua
Umepanda bei
Sasa woona mi sifai
Nikikuita bae, bae eeh
Wasema hizo vako we hudai
Umepanda bei, bae eeh
Attention tena hunipei
Angalia bei, bae eeh
Umenikaba koo kama tai
Umepanda bei, bae eeh
Attention tena hunipei
Angalia bei, bae eeh
Umenikaba koo kama tai
Bei bei bei bei
Bei bei bei bei
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Bei Bae (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ALA C
Kenya
Ala C Genge is an artist from Kenya. He is the host of the popular kikuyu program "Reke c ...
YOU MAY ALSO LIKE