Baraka Lyrics
Kwangu imekuwa kama ndoto au nyota
Iliojaa upendo usio na kipimo
Na umeniinua leo naitwa mama kijacho
Naisubiri zawadi kutoka kwako
Maombi yangu usiku na mchana
Aje mtoto mwenye hekima na busara
Mkarimu na mcheshi na asiwe hasara
Mtoto ni baraka kutoka kwa Mungu
Nitamlea kwa nguvu za Mungu
Umenipa dhamani mbele za macho ya watu
Acha niringe nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Kwani mimi ni nani
Unichague niwe mama wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe mama wa watoto wako
Kwani mimi ni nani
Unichague niwe baba wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe baba wa watoto wako
Umenitendea haki aliyonipa mama
Umenionyesha upendo sijawahi ona
Nayainua macho yangu juu
Nikualikie mema kutoka kwa Mungu
Tulipo ianza safari
Kunawaliopinga na kutukatisha tamaa
Hukuvunjika moyo ata maisha yalipokwenda mrama
Mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu
Nitamlea kwa nguvu za Mungu
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Kwani mimi ni nani
Unichague niwe mama wa watoto wako
Asante, kukubali niwe wako
Kwani mimi ni nani
Unichague niwe mama wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako
Kwani mimi ni nani
Unichague niwe baba wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe baba wa watoto wako
Kwani mimi, ni nani?
Unikubali niwe mama wa watoto wako
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Baraka
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
AKOTHEE
Kenya
East Africa's No. 1 Female Artist. Recording Artist/ Businesswoman Afrimma Awards Best Female ...
YOU MAY ALSO LIKE