Home Search Countries Albums

Baraka

AKOTHEE Feat. LINEX

Baraka Lyrics


 

Kwangu imekuwa kama ndoto au nyota
Iliojaa upendo usio na kipimo
Na umeniinua leo naitwa mama kijacho
Naisubiri zawadi kutoka kwako

Maombi yangu usiku na mchana
Aje mtoto mwenye hekima na busara
Mkarimu na mcheshi na asiwe hasara

Mtoto ni baraka kutoka kwa Mungu
Nitamlea kwa nguvu za Mungu
Umenipa dhamani mbele za macho ya watu
Acha niringe nitambe na nipige nduru

Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru

Kwani mimi ni nani 
Unichague niwe mama wa watoto wako 
Asante, kwa kukubali niwe wako

Kwani mimi, ni nani? 
Unikubali niwe mama wa watoto wako

Kwani mimi ni nani 
Unichague niwe baba wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako

Kwani mimi, ni nani? 
Unikubali niwe baba wa watoto wako

Umenitendea haki aliyonipa mama
Umenionyesha upendo sijawahi ona
Nayainua macho yangu juu 
Nikualikie mema kutoka kwa Mungu

Tulipo ianza safari 
Kunawaliopinga na kutukatisha tamaa
Hukuvunjika moyo ata maisha yalipokwenda mrama

Mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu
Nitamlea kwa nguvu za Mungu

Acha niringe, nitambe na nipige nduru
Acha niringe, nitambe na nipige nduru

Kwani mimi ni nani 
Unichague niwe mama wa watoto wako
Asante, kukubali niwe wako

Kwani mimi ni nani 
Unichague niwe mama wa watoto wako 
Asante, kwa kukubali niwe wako

Kwani mimi ni nani 
Unichague niwe baba wa watoto wako
Asante, kwa kukubali niwe wako

Kwani mimi, ni nani? 
Unikubali niwe baba wa watoto wako

Kwani mimi, ni nani? 
Unikubali niwe mama wa watoto wako

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Baraka


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

AKOTHEE

Kenya

East Africa's No. 1 Female Artist. Recording Artist/ Businesswoman Afrimma Awards Best Female ...

YOU MAY ALSO LIKE