Body Lyrics

We una kafiga ka Nicky Minaj
Toto umeiva ukawekwa nazi
Nilikuona kwa mbali nikafeel uchizi
Ujue kukufuata mie haikuwa easy
Tangu hizo enzi hadi siku hizi
Nilidata kwako kama una kizuizi
Wanaopiga sana namba iko busy
Usiwaskize yao baby take it easy
Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti
Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti
Naskia unapenda kitu kuu
Hujai lalisha mwili figa iko true
Hujaizalisha nikupatie wajukuu
Huskii Brown aligeuza serikali yaani kuu
Unanipa wasiwasi
Kwanza venye hio ass inavuta wafuasi
Si basi nipe chance, yaani nipe nafasi
Ndovu nikupe yote na sio kiasi asi
See I could chew you and ain't no be shame
Walahi I can do and do all over again
Siwezi kushare hii mali haiendi chain
Alafu tuongeze ndovu on your name
Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti
Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti
Whine for me
Uko nami jilaze kifuani
Hapa mori umenipanda kichwani
Tukamalize vita nyumbani
Whine for me
Uko nami jilaze kifuani
Hapa mori umenipanda kichwani
Tukamalize vita nyumbani
Gimmie gimmie dat, gimmie (Gimmie)
Gimmie gimmie dat, gimmie (Gimmie)
Oh gimmie gimmie dat, gimmie (Gimmie)
Chiiii....
Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti
Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : V the Album (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BROWN MAUZO
Kenya
Brown Mauzo whose real name is Fredrick Mtinda was born on 31st December. He is a Kenyan musician wh ...
YOU MAY ALSO LIKE