Home Search Countries Albums

Body Lyrics


We una kafiga ka Nicky Minaj
Toto umeiva ukawekwa nazi
Nilikuona kwa mbali nikafeel uchizi
Ujue kukufuata mie haikuwa easy

Tangu hizo enzi hadi siku hizi
Nilidata kwako kama una kizuizi
Wanaopiga sana namba iko busy
Usiwaskize yao baby take it easy

Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti

Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti

Naskia unapenda kitu kuu
Hujai lalisha mwili figa iko true
Hujaizalisha nikupatie wajukuu
Huskii Brown aligeuza serikali yaani kuu

Unanipa wasiwasi
Kwanza venye hio ass inavuta wafuasi
Si basi nipe chance, yaani nipe nafasi
Ndovu nikupe yote na sio kiasi asi

See I could chew you and ain't no be shame
Walahi I can do and do all over again
Siwezi kushare hii mali haiendi chain
Alafu tuongeze ndovu on your name

Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti

Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti

Whine for me 
Uko nami jilaze kifuani
Hapa mori umenipanda kichwani
Tukamalize vita nyumbani

Whine for me 
Uko nami jilaze kifuani
Hapa mori umenipanda kichwani
Tukamalize vita nyumbani

Gimmie gimmie dat, gimmie (Gimmie)
Gimmie gimmie dat, gimmie (Gimmie)
Oh gimmie gimmie dat, gimmie (Gimmie)
Chiiii....

Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti

Kwa hicho kiuno chako
Baby whine your body, body
Ponda raha uko nami
Nami namwaga noti

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : V the Album (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BROWN MAUZO

Kenya

Brown Mauzo whose real name is Fredrick Mtinda was born on 31st December. He is a Kenyan musician wh ...

YOU MAY ALSO LIKE