Home Search Countries Albums

Makuu Lyrics


Eeh baba niseme nini kwako
Niseme nini kwa kwako
Unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako
Unayotenda ni makuu

Umenipenda kuliko yeyote duniani
Dhamani yako baba imezidi
Niseme nini uliyotenda ni mengi Bwana
Eeh Baba umepanguza machozi yangu
Umenitoa mavumbini nashukuru Bwana
Ndio maana najiuliza mimi
Niseme nini kwako?

Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu

Ni nani asiyejua kazi za mikono yako
Unayotenda ni makuu
Umeniinua toka mavumbini
Umeniketisha na wafalme

Ni nani aliye kama wewe
Unayetenda ni makuu
Ni nani asiyejua kazi zako
Unayotenda ni makuu

Kuna wakati nilishindwa
Ukaniona Bwana ukanikumbuka
Kuna wakati machozi yalinidondoka
Bwana ukanihurumia mimi ooh

Nikitafakari ulivyonipenda Bwana
Mimi niseme nini itoshe kukueleza
Hapo ndipo nimejua
Wewe ni mwingi wa huruma
Umejaa pendo unatupenda wote Bwana

Mimi sitakuacha Bwana
Niende kwa nani?
Nitakufuata milele na milele

Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu

Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu
Niseme nini kwa kwako, unayotenda ni makuu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Makuu (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TUMAINI AKILIMALI

Kenya

Tumaini Akililimali also known as Pastor Tumaini is a Kenyan gospel artist best known for 'Ni We ...

YOU MAY ALSO LIKE