Kataniuwa Lyrics

Katoto kakitamba
Kanajua nichanganya
Kadiri ninavyohisi
Mi katanitoa roho
Beiby hallo, hallo, hallo
Beiby you know, you know, you know
If you love me
I will show you my pockets
Kanajichanua chanua chanua
Kanajipamba pamba pamba
I will show you my pockets
--
Jinsi kanavyofaa(Kataniua)
Maido ido yake (Kataniua)
Macho yake (Kataniua)
Midomo yake (Kataniua)
Hatari hatari
Haka katoto kataniua
Hatari hatari
Haka katoto kataniua
Wanasemaga eti sitoweza
Eti mapenzi yangu kwako ninacheza
Mpaka ukasepa so so far away
Penzi lanibamba nateswa
Mimi sikuoni nishasepa
Mautamu yananipanda nahema
Huku washikani wakinicheka
Oooh aah, I need you tonight
Oooh aah, give me one more time
Baby tingika loketo
Naunitoka mtoto
Nipe nipe ka mnoto
Mpaka nikutoe utoko
Baby tingika loketo
Naunitoka mtoto
Nipe nipe ka mnoto
Mpaka nikutoe utoko
Jinsi kanavyofaa(Kataniua)
Maido ido yake (Kataniua)
Macho yake (Kataniua)
Midomo yake (Kataniua)
Hatari hatari
Haka katoto kataniua
Hatari hatari
Haka katoto kataniua
Mapenzi sio karata
Ooh sa na mazigizagi
--
--
Jinsi kanavyofaa(Kataniua)
Maido ido yake (Kataniua)
Macho yake (Kataniua)
Midomo yake (Kataniua)
Hatari hatari
Haka katoto kataniua
Hatari hatari
Haka katoto kataniua
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Kataniuwa (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE