Abba Lyrics

Kwa kuwa nilikujua sijuti
Na kamwe sitajuta kukufuata
Kwa sababu ulikuwa mzuri
ABBA My Father, You are so good to me
Kwa sababu ilikuwa mzuri , muzuri mzuri
ABBA My Father, You are so good Me
Ajabu, ajabu
Wewe ni ajabu, ajabu
Ajabu, ajabu
Wewe ni ajabu, ajabu
Unasimama na neno lako, ili litimie
Unanifundisha kila siku kuwa wakati wako ndio unanijia
I believe, Yes I trust in You
You are faithfull God
Wewe ni ajabu
Kwa sababu Ulikuwa mzuri, muzuri mzuri
ABBA My Father, You are so good to me
Ajabu, ajabu
Wewe ni ajabu, ajabu
Ajabu, ajabu
Wewe ni ajabu, ajabu
Wewe ni ajabu, hauseme uwongo
Wewe ni ajabu,upendo wako unanificha
Wewe ni ajabu, hawuseme uwongo
Wewe ni ajabu, neno lako linanifariji
ABBA My Father my Father
You are so good to me
Wewe ni ajabu
Wewe ni ajabu
Wewe ni ajabu
Wewe ni ajabu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Abba (Single)
Added By : Florent Joy
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE