Nibebe Lyrics

We ni gu tayari Nishakubali
Kufunga ndoa nawe
Tumeshapewa kibali
Na wazazi acha nringe nawee
Umenijaza Imani
Tangu nakujua umenifanya Nisijute mamaa aaaha
Hunaga we kisirani Hata nikikuudhiii
Yachumbani yanakwisha mamaaa aahaa
Punguza mashoga wanafki kuwatembele
Maana wanachekelea tukigombana ah haaa
Unanikasha vibopa masharo Kuwapotezea
Tena kuwachomolea
Wakikutaka ahahaa
[CHORUS]
We ndo my sweet baby
I swear to God
My sweet baby (Haa aaah)
I love you daily (Haa aaah)
We ndo chaguo langu (Nibebe)
Heheee… Nibebe, Tuliaaa
Mama watoto wangu
Wewe ndo roho yangu
Nibebe (eeeh) Nibebe Tuliaaa
Nishike mamy
Nikumbatie Iyeiyeee (nibebe tuliaaa)
Baby, ala moja haikai
Panga mbili nimeamini
Wewe wanifa aaaha
Ufunge vizuri yangu tai
Isije ning’iniaa chinii
Nikajikwaaaa ahaahaa
Tushakula kiapoo
Mimi nawewe
Kwanye shida naraha aaaahaaa
Yaani wabaya wapo
Tutapigwa mawe
Tusikate tamaa aahaaa
Lakini sisi wewe
Hata kuku aombe dua
Halutupati ng’oo uuhhmm
Hunifai wewe
Wanajifanya jinni kujua
Kiti nshasema no (uh yeah)
Punguza mashoga wanafki Kuwatembelea
Maana wanachekelea tukigombana haaaaha
Utanikosha vibopa masharo kuwapotezea
Tena kuwachomolea wakikutaka
[CHORUS]
We ndo my sweet baby
I swear to God
My sweet baby (Haa aaah)
I love you daily (Haa aaah)
We ndo chaguo langu (Nibebe)
Heheee… Nibebe, tuliaaa
Mama watoto wangu
Wewe ndo roho yangu
Nibebe (eeeh) Nibebe tuliaaa
Nibebe, Nibebe tuliaaa
Nibebe, Nibebe tuliaaa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Nibebe (Single)
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE