Home Search Countries Albums

Ulisema Lyrics


Moyo wangu una shauku
Ya furaha yako Mungu
Usiye na kinyongo 
Naomba uturehemu

Kama wana wa Israeli
Baada ya taabu jangwani
Hiyo raha ya kwenda Canaan
Ndio natamani

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Naomi akitoka Moabi
Baada ya jeraha la moyo
Akasema aitwe Mara
Kwa uchungu alioupata

Eeh Mungu mponyaji
Iponye nchi yetu 
Maana tuna majeraha moyo
Magonjwa mafuriko na njaa

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Kilicho mwanzo kina mwisho
Hivyo ndivyo walisema
Na pia kuna tumaini 
Baada ya mti kukatwa

Mti huo ukikatwa
Unapata kuchipuka
Tena na kilicholiwa na nzige
Utalipa mia kwa mia

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ulisema (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SALOME WAIRIMU

Kenya

Salome Wairimu (10 years old ) is an artist from Kenya. She rose to fame after her song 'Ja ...

YOU MAY ALSO LIKE