Home Search Countries Albums

Ngori

RADI6 Feat. SCAR MKADINALI

Ngori Lyrics


Rap ishakuwa taken
Behind bars kuna watu kadhaa
Ishakua taken
Behind pads Kuna watu navaa
Na nyi wote wasenge
Mnanuka na mnapenda kuhug
Natembea na RONG rende 
Kukinuka si unajua niku fyaaaam

Niko kwa duka ka bun
Naskumwa ka Unga Japan
Jina kubwa kiklan
Sitambui Umbwa ikibark
Kimziki mi pan
Uliza OG ni fan
Rafiki na nyoka kiplan
Collabo na Breeder a inakam

So shika rada kua mjanja 
After life nageuka mbang'a
Kukula hongo na kuteka mafala
Kwa mapinji nitakua smarter
Mnatafuta kiki niko hapa 
Kama bibi akitafuta bwana
Si wajanja mkivuta shada
Ni adolescent tu imeanza

Nabeba upini, nadunga sahara
Luku ya mwizi najisunda na para
Umebebwa rahisi ka mlevi amelala
Hatubahatishi utapotea ukipata
Rap nimeishikilia kidini
Verse nawapatia kikasisi
ATI rasta baby ndio bibi
Nakula pilau na wanafiki

Trao haina mfuko juu ya mapiji
Na kama e-sir hamnitishi
Natesa ghetto, westy na jiji
ATI mental jua nimechizi
Si bahatishi hii shit rahisi
Inalook so easy but ni zoezi
So hata mkini boo nitakalia kiti 
Nyi washenzi naitwa warriah Eastleigh

Ka kitu ni ngori ngori
Na kutoka hadharani na siogopi
Pelekea mzazi repoti 
Akiskia Jina yangu anakanyagia story

Saksuliwa jinika na pori
Ka Boi nimgati tunampiga makofi
Adisiwa kihasho kibare 
Utachukua p3 na kwa court  sitoboki

[Chorus - Radi6]
Ka kitu ni ngori ngori
Si kitu umezoea buda
Ka kitu ni ngori ngori
Ukiskia tuma watoto kwa duka
Ka kitu ni ngori ngori
Si shit utaskiza na wa junior
Kakitu ni ngori ngori huh
Ka kitu ni ngori

Ka kitu ni ngori ngori
Si kitu umezoea buda
Ka kitu ni ngori ngori
Ukiskia tuma watoto kwa duka
Ka kitu ni ngori ngori
Si shit utaskiza na wa junior
Kakitu ni ngori ngori huh
Ka kitu ni ngori

[Scar mkadinali]
Yo yo yo jua nikungori
Esto yenyu tumeingia na trolly
Na hatujabonga na chogi
Kwanza ni ngware ma-morning
Inapataga mamorio wako roady

Woo woo woo
Hozo dogi zenyu ziko jocking
Rende imeweza bado ni rong
So unajuwaga sichochi
Kuja na mboga nakuja na ndom
Sima huwaga sikosi
Sister Zima uende kwa room
Fifa fifa huwaga sichoki
Pongi ikinuka napiga doom ffffff
Huwaga ni toxic

Mangware mi nijikate hali ya kusaka machwa
Juu nina msupa nisipoleta mkate anapenda kujam
Kam Kam nikuonyeshe mahali si tutaburn
Mbali na cops, mbali na opps, mbali na fam

Kuzoza nitazoza na ikikuuma unalia
Bro alikuja na dre hatujawai tumia ndio sai tunaiskizia
Mamako alishakukataza skia nitakupoteza njia
Borako nimekua na nimewaimbia hakuna haja ya kuwaibia

[Chorus - Radi6]
Ka kitu ni ngori ngori
Si kitu umezoea buda
Ka kitu ni ngori ngori
Ukiskia tuma watoto kwa duka
Ka kitu ni ngori ngori
Si shit utaskiza na wa junior
Kakitu ni ngori ngori huh
Ka kitu ni ngori

Ka kitu ni ngori ngori
Si kitu umezoea buda
Ka kitu ni ngori ngori
Ukiskia tuma watoto kwa duka
Ka kitu ni ngori ngori
Si shit utaskiza na wa junior
Kakitu ni ngori ngori huh
Ka kitu ni ngori

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Ngori (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RADI6

Kenya

Radi6, Rapper/Song writter, is a recording and performing artist based in Nairobi Kenya. With roots ...

YOU MAY ALSO LIKE