Accueil Recherche Pays Albums

Sabu

PSON

Sabu Lyrics


Tuko namwangalia na mbali
Kama my music ka itampeleka ka fashi
Kama lishushi tutakagombanisha
Na ile mamilio ya ma v yake ya gwivi

Pengine asema ni malawa
Asema ni reve, watu hawamjui
Ati ananivo

Pengine asema ni malawa
Asema ni reve, watu hawamjui
Ati ananivo

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Tumika kazi yako na roho moja
Kuna siku kazi yote inalipaga
Usisikie ya watu angalia Mola
Jua ya leo ya kesho umwachie Mungu

Walisema hutaolewaga
Kazi hutapataga 
Utabaki kuhangaika
Utabaki masikini

Walisema hautaolewaga
Kazi hutapataga 
Utakuwa ka omba omba
Leo tuko wapi?

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Mnasahau kenye Mungu analetega
Mnasahabu seke ya maisha ni kutumika
Mnasahabu vile vyote mlisemaga 
Kendiko naletaleta ni shida ilivyowaka

Ni miye yule yule
Walisema akanipa bure
Nitabaki hapa mpaka vile 
Shibobale mpaka pale

Ni miye yule yule
Walisema akanipa bure
Nitabaki hapa mpaka vile 
Shibobale mpaka pale

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sabu (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PSON

Congo RDC

PSon is an artist from Congo, founder of ZUBABOY MUSIC. ...

YOU MAY ALSO LIKE