Home Search Countries Albums

Usikate Tamaa

PETER PAUL MSAFI

Usikate Tamaa Lyrics


Weweeeeh mmmmmh Peter Paul aaai aiye iye…

[CHORUS]
Usikate tamaa kwani mungu yupo
Usirudi nyumaaah mwenzangu mungu yupo
Ata kupigania eeeeh eeeh eeh
Ata kushidania eeeeh eeeh eeh

[VERSE 2]Ganga ganga za mganga huleta tumaini
Kwangu ilikuwa simanzi kumpata mola
Wengi kanitenga haha high
Wengi kanisemea haha why?
Nkafanya burudani wepo kasikika
Kama batimayo ni kaona tena
Nawe usichoke kumwitaa mola
Yeye ni mwema ata kutendea weee

[CHORUS]
Usikate tamaa kwani mungu yupo
Usirudi nyumaaah mwenzangu mungu yupo
Ata kupigania eeeeh eeeh eeh
Ata kushidania eeeeh eeeh eeh

[VERSE 2]
Wanadamu wakatili kila mara wabadilika
ndoa zako kwa wakili ukangambo ya pili
Usione unayo ya pita kuwa mwisho wa ndunia
Kazana tu jitahidi maulana mtazamie
Kazana tu jitahidi maulana mtazamieee
Alinitendea na mimi ata kutendea na wewee

[CHORUS]
Usikate tamaa kwani mungu yupo
Usirudi nyumaaah mwenzangu mungu yupo
Ata kupigania eeeeh eeeh eeh
Ata kushidania eeeeh eeeh eeh
Usikate tamaa kwani mungu yupo
Usirudi nyumaaah mwenzangu mungu yupo
Ata kupigania eeeeh eeeh eeh
Ata kushidania eeeeh eeeh eeh

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Usikate Tamaa (Single)


Added By : Peter Paul

SEE ALSO

AUTHOR

PETER PAUL MSAFI

Kenya

Peter Njoroge Nganga, born on 9/12/1996 and better known as Peter Paul Msafi, is a Kenyan Mwafaka aw ...

YOU MAY ALSO LIKE